Album Cover Baby Love

Baby Love

Otile Brown

8

Mmmh

Oooh laaa

Yeah yeah yeah

Thamani yako, uzuri wako, naujua mwenyewe

Sikuachi pengine uniache wewe

Alimradi unanipenda, peke yetu tutaishi kwenye dunia

Sikuachi pengine uniache wewe

Jiko we jiko langu kama mboni ya macho yangu

Ntakulinda mpenzi wangu

Jiko we jiko langu kama mboni ya macho yangu

Hmmmn

Ntakulinda mpenzi wangu

Achana nao(nao)

Achana nao(nao)

Ooh achana nao

Hao wenye roho mbaya wanatusema vibaya

Achana nao(nao)

Achana nao(nao)

Ooh achana nao

Hao wenye roho mbaya wanatusema vibaya

Baby love, wewe wangu, mi wako wa moyo

Oh baby love usije niacha kwa fitna na maneno yao

Baby love, wewe wangu, mi wako wa moyo

Oh baby love usije niacha kwa fitna na maneno yao

Mmmmh

Oh yeah

Huna habari, jinsi gani moyo wangu unaupendeza

We ndio furaha, yangu we ndio amani yangu

We ni jiko, jiko langu

Kama mboni ya macho yangu

Ntakulinda mpenzi wangu

We ni jiko, jiko langu

Kama mboni ya macho yangu

Ntakulinda mpenzi wangu

Achana nao(nao)

Achana nao(nao)

Ooh achana nao

Hao wenye roho mbaya wanatusema vibaya

Achana nao(nao)

Achana nao(nao)

Ooh achana nao

Hao wenye roho mbaya wanatusema vibaya

Baby love, wewe wangu, mi wako wa moyo

Oh baby love usije niacha kwa fitna na maneno yao

Baby love, wewe wangu, mi wako wa moyo

Oh baby love usije niacha kwa fitna na maneno yao

Baby love, wewe wangu, mi wako wa moyo

Oh baby love usije niacha kwa fitna na maneno yao

Baby love, wewe wangu, mi wako wa moyo

Oh baby love usije niacha kwa fitna na maneno yao

We ni jiko, jiko langu, kama mboni ya macho yangu

Nitakulinda mpenzi wangu