Lyrics
B boy
Mwenzako zikianza story za mapenzi
Mfano wakwanza ni wewe
Hadi marafiki zangu wananicheka
Naukumbuka ushenzi tulofanyaga
Mi nawe mwenzako mi nakuonea vibwenga
Hata wakisema maneno
Ni bure maana nyani halionagi kundule
Wanachotaka tuachane uzurure watucheke kikowapi
Ujana una mengi na mengine na mi nimefanya
Siwez danganya nishamaliza
Kila niliempaga moyo autunze
Basi aliugawanya ona nilihanya ikaniumiza
We unanijali unanivumilia
I wish tuzeeke wote
I wish tuzikwe wote mmoja akifa kesho
Yeah mule kuhan
Unanipenda
I wish tuzeeke wote
I wish tuzikwe wote mmoja akifa kesho
Mapenzi sa ukiondoka nitabaki na Nani
Mapenzi ukibaki nitaondoka na Nani
Siwezi peke yangu
Yeah
Mama ukiongeza nitajinenepea
Unavyo nigombeza nakuona una care
Eti hatujapendeza wanatufokea mi
I don′t care ndo nishakolea
Kipofu nishaona mwezi vurugu vurugu siwezi
Leo sinza kesho kinyerezi mara mbezi
Ujana una mengi na mengine na mi nimefanya
Siwez danganya Nishamaliza
Kila niliempaga moyo autunze
Basi aliugawanya ona nilihanya Ikaniumiza
We unanijali unanivumilia
I wish tuzeeke wote
I wish tuzikwe wote mmoja akifa kesho
Yeah mule kuhan
Unanipenda
I wish tuzeeke wote
I wish tuzikwe wote mmoja akifa kesho
I wish I wish
I wish I wish
Mapenzi sa ukiondoka nitabaki na Nani
Mapenzi ukibaki nitaondoka na Nani
Siwezi peke yangu
Music Video
About
Artist Harmonize
Added 3 months ago
More from Harmonize
Popular Now
Tung tung tung sahur (English Translation)
Genius English Translations • 5,882 views
Sherine - Batmana Ansak (English Translation)
Genius English Translations • 1,833 views
Pikiran yang Matang
Perunggu • 1,364 views
AKUGETSU - Mi Vida Loca (VIVINOS - ALNST Sub : Till Part.1)
Genius English Translations • 1,179 views
Saja Boys - Soda Pop (Romanized)
Genius Romanizations • 1,121 views