Lyrics
Usiniache gizani Bwana
Msaada wako haukomi
Nili peke yangu, kaa nami
Siku zetu hazikawi kwisha
Sioni la kunifurahisha
Hakuna ambacho hakikomi
Usiye na mwisho, kaa nami
Nina haja nawe kila saa
Sina mwingine wa kunifaa
Mimi nitaongozwa na nani
Ila wewe Bwana kaa nami
Sichi neno uwapo karibu
Nipatalo lolote si taabu
Kifo na kaburi haviumi
Nitashinda kwako kaa nami
Nilalapo nikuone wewe
Gizani mwote nimulikie
Nuru za mbinguni hazikomi
Siku zangu zote kaa nami
Music Video
About
Artist Angela Chibalonza
Added 3 months ago
Popular Now
Tung tung tung sahur (English Translation)
Genius English Translations • 5,864 views
Sherine - Batmana Ansak (English Translation)
Genius English Translations • 1,808 views
Pikiran yang Matang
Perunggu • 1,352 views
AKUGETSU - Mi Vida Loca (VIVINOS - ALNST Sub : Till Part.1)
Genius English Translations • 1,159 views
Saja Boys - Soda Pop (Romanized)
Genius Romanizations • 1,107 views