Album Cover Ananijali

Ananijali

THE TWAKUTUKUZA CHOIR

5

Nimeomba, tena sio mara moja

Kwa roho na kwa kweli

Bali sijapata, majibu yangu kuyaona

Adui shetani mwongo

Asema ya kwamba Mwenyezi Mungu

Yeye hanijali bali

Siwezi, Sitomkubali

Ninayo hakikisho, ya kweli ninajua

Ananijali, Ananijali

Sitokubali kuzama kwenye maji

Ananipenda yeye ni mwema

Aaah...

Ni za dunia zangu hizi shida hazitanizuia

Kukutumikia

Tafuata mimi hiyo njia

Ya kweli na uzima kwani

Ulisema yote yamekwisha

Sitababishwa, ninajua yatapita kwani

Baada ya usiku giza

Ninayo hakikisho asubuhi itafika

Ananijali, Ananijali

Sitokubali kuzama kwenye maji

Ananipenda yeye ni mwema

Aaah...

Adui shetani mwongo

Asema ya kwamba Mwenyezi Mungu

Yeye hanijali bali

Ulisema yote yamekwisha

Sitababishwa, ninajua yatapita

Ananijali, Ananijali

Sitokubali kuzama kwenye maji

Ananipenda yeye ni mwema

Aaah...

Ananijali, Ananijali

Sitokubali kuzama kwenye maji

Ananipenda yeye ni mwema

Ni mwema aaaah...

Ananijali

Ooh.ni mwema

Yeye ni mwema

Oh, Bwana ni mwema

Yeye ni mwema

Ninaamini

Yeye ni mwema

Usiku na mchana anijali

Usiku na mchana

Yeye ni mwema

Yeye ni mwema

Yeye ni mwema

Mimi kwangu ni mwema

Yesu ni mwema

Yeye ni mwema

Yeye ni mwema

Yeye ni mwema

Lagu lain oleh THE TWAKUTUKUZA CHOIR