Album Cover Bebi Bebi

Bebi Bebi

Nyashinski

8

Only you bebi

Only you bebi

You′re my only oneMy only one bebi

Some say a fool never changed his mind

Well may be

Baby I'm a fool for you

Mapenzi kipofu ukipenda maovu huoni

Ooh love is blind never seem so true

When I′m broke natumianga bro

Please call me

Akipiga naomba dooh

Mbona kuna message

Inajitumanga send me money

Tukate long story short yoyooo

Vumilia na mimi, please don't leave me

Don't let money the fool you

Sponsors just wanna use you

Namwambia mtoto wa mama asiharibikeee

Ananishoo ni biasharaa tu

Na siwezi mshibishaa na pangangaa tu

Na mwezi ukiisha sina ujanja tu

Na renti ikibishwa huanga blunder tu

Bebi Bebi, kwani me wakati sina

Leo sina kitu kesho ntafanikiwa

Na nikibarikiwa ahadi yangu ni sitasahau mahali nimetoka na we

Bebi me wakati sina

Leo sina kitu kesho ntafanikiwa tu

Na nikibarikiwa ahadi yangu ni sitahau mahali nimetoka na we

Only you bebi

Only you bebi

You′re my only one

My only one

Girl I wanna, girl I wanna

Girl I wanna take you to my mama

Show her you′re the one for me

I'll never ever never ever leave you

Believe me when I say

You′ll forever be my queen

Yule nala naye kwa dhiki

Ntala naye kwa faraja

Ahadi yangu ndio hiyo

Kama pamoja tumelia, tutacheka pamojaa

Wou vumilia na mimi

Please don't leave me

Don′t let the money fool you

Sponsors just wanna use you

Mtoto wa mama usiharibike

Bebi Bebi, kwani me wakati sina

Leo sina kitu kesho ntafanikiwa

Na nikibarikiwa ahadi yangu

Mi sitasahau mahali nimetoka na we

Bebi, kwani me wakati sina

Leo sina kitu kesho ntafanikiwa

Na nikibarikiwa ahadi yangu

Mi sitasahau mahali nimetoka na we

Only you bebi

Mahali nimetoka na wewe

Only you bebi

Only you bebi

You're my only one

Okay sa naicheza ka bubu

Baby no more talk just do

Weh ni mtamu ka mabuyu

Hujawai kuwa chini, uko juu

Forever be my only one

Tukiachana itaniuma na

Najua kuna nigga anangoja nichome

Aruke ndani ka superstar

Usiache ihappen, ishikilie ka siri

Ukimake it life then nishikilie pia mimi

You make me whole Bebi

Don′t let me go stay beside me

You make me go plead

How will my heart beat without you

Bebi Bebi, kwani me wakati sina

Leo sina kitu kesho ntafanikiwa

Na nikibarikiwa ahadi yangu

Mi sitasahau mahali nimetoka na we

Bebi, kwani me wakati sina

Leo sina kitu kesho ntafanikiwa

Na nikibarikiwa ahadi yangu

Mi sitasahau mahali nimetoka na we